Latest Updates

Showing posts with label Love story. Show all posts
Showing posts with label Love story. Show all posts

LOVE STORY - JIFUNZE KULINDA AHADI YAKO KWA UMPENDAE

1:45 AM
Miaka kumi na mbili iliyopita binti huyupichani aitwaye Dear alikuwa namahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja wakiwa na umri wa miaka 18.Walipendana sana na kuapiana kuwa

HIZI NDIZO SABABU 10 ZA WANAWAKE KUTOKUOLEWA NA KUISHIIA KUSAGANA TU

6:34 AM
Pamoja na kuwa kuna wanawake husita kuolewa, lakini jambo hili si kubwa sana kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume.
Kwa kiasi kikubwa katika suala la kutaka kuingia ndani ya ndoa, wanawake ni wengi ambao hutaka kufunga ndoa kuliko ilivyo kwa wanaume. Hilo tunaliona wazi tokana na shamra shamra awazo nazo mwanamke wakati wa maandalizi ya shughuli za Ndoa na Harusi.

MTIHANI UNAOWAKABILI BAADHI YA WANAWAKE WAINGIAPO KATIKA MAHUSIANO MAPYA

6:29 AM
Ni pale mwanaume anapoonyesha tamaa kubwa ya ngono na kulazimisha kukutana kimwili wakati mwanamke aliweka msimamo wa kutokutana kimwili na mwanaume yeyote mpaka baada ya muda fulani tangu kufahamiana na kuwa wachumba au mpaka pale watakapofunga ndoa

SINTASAHAU HUYU MDADA NIMEMVULIA KOFIA

1:39 AM
Mambo niaje wakuu..sijui hata nianzie wapi?...hawa wanawake...!! basi tu!!basi bwana nmekua nikimdate dada mmoja mwenyeji wa iringa
.sio siri kwa haraka haraka nlijua huyu ananipenda kwa dhati, mie kiukweli nlimpenda sana.Tumedate kwa almost mwaka na nusu,kwa mda wote huo sharti ilikua ni hakuna kugegendana mpaka tufunge ndoa.Kidume nlijipa moyo nkajikaza kwani mama nilihus namjua sana ni mlokole haswaa mpka watu uwa wananishangaa nlimptaje coz mie cnaga swaga za kilokole,aliku kesha nihakikishia kua yeye ni bikira na ajawai ku do.Kwa mda wote wa mapenzi yetu nmekua nikijaribu kuomba mchezo ila ilishndkana.juzi kati ulizuka ugomvi mkubwa sana kati yangu na yeye kisa kikiwa ni hicho hicho kugegenda,Mimi nkiwanataka yeye ataki,tumekaa bila kuongeleshana kwa almost wiki nzima,jana jumamosi ndo aliamua kuvunja ukimya na kuniita niende kwake ili tusort out ili tatizo.Tuliongea mengi ila dada bado alikua kashikilia msimamo wake ila akaniomba nimpe mda kidogo afikilie jinsi ya kulifanya hilo,nlimkubalia,basi ile kuangana kwa hugs na kisses tukajikuta kitandani bahati nzuri ni kama she was 50/50 kufanya,na mie sikutaka kua ---- nikatoa dudu fasta nikijua leo ndo naifumua zawadi yngu ya chrsmas...mmmh..nlichokikuta huko staki kuamini mpka sa hvi..nahisi mie nlikua mwanaume wa 20 kuzamisha. Hata gori nlishdwa kupiga kwa sababu ya mawazo nlokua nayo,nlivaa surua yangu taratibu. nkimwacha demu analia sana uku akiniomba msamaha daa wanawake siwatamani tena.. 

Credit:Udakuspecially.

ii ni Shule ya Kwanza Duniani Inayotoa Mafunzo ya Ngono, Ada Yake ni £1,400 Kwa Temu (MUHIMU ISOME)

12:19 AM
Hii ni shule ya kwanza inayotambulika rasmi Duniani kwa kutoa mafunzo ya ngono, ikifunza aina za mitindo ya kufanya ngono na namna ya kumuhudumia mwenza kwa mbinu mbalimbali.

Ameniacha na Kumfata Mwanamke Mwengine Mpya; Nifanyeje Aweze Kunirudishia Pesa Nilizomkopesha...?

12:12 AM
Mwanamke huyu alikuwa akimpa hela mpenzi wake akitegemea kuwa angekuja kumuoa, ila mambo yakawa ndivyo sivyo....

HII NDIO STORI KAMILI

MIDA YA WATU WAZIMA:Yafahamu Sehemu 15 katika Mwili wa Mwaume Ambazo Zimejaa Hamu ya Kumfanya Ajisikia Kufanya Mapenzi Kila Mara Mnapokuwa Kitandani

8:12 AM

Wanaume wamejaliwa Hisia za karibu sana,yaani kwao kupata Hamu ya kupeana Raha na Utamu ni Jambo rahisi sana tena kwa Haraka.Ingawa wanapata Hamu kwa urahisi,na hata kufika kileleni(orgasm) wanafika kwa urahisi,lakini unadhani wanaridhika kwa urahisi pia? Unadhani pale anapocum na kumwaga sperms ndio teyari umemfikisha? Jibu ni kwamba Mwanaume akicum akamwaga sperms,inamaanisha amefika kileleni(orgasm),na kitendo cha yeye kufika kileleni inamaanisha kwamba either HAMU yake imepungua au imemalizika(itategemea amecum kwenye round ya ngapi)

Binti wa Miaka 22 Kwenye Penzi Zito na Baba wa Kambo (USHAURI)

3:58 AM
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22 na kwa sasa nipo chuo…. Ninapokuwa likizo nyumbani, huwa napenda kutoka na kutembea na baba yangu kuliko mama yangu.Nina hili tatizo, nimekuwa nikivutiwa na baba yangu licha ya kujitahidi hali hiyo isitokee inashindikan. Juzi kati wakati mama yangu alipokwenda kwenye harusi nilimshawishi baba na tukaishia kufanya mapenzi.Kiukweli nina mpenzi ila nimejikuta nikvutiwa zaidi na baba yangu na sielewi ni kwa nini. Najisikia kufanya mapenzi naye tena na tena....
Nifanye nini kuiondoa hali hii....?
Sababu ameniambia mimi ni mtamu kuliko mama (Yeye ni baba yangu wa kambo, ila ni mtamu sana).

Naomba msaada....

BARUA: Mke wa Boyfriend Wangu ni Bosi Wangu Mpya, Nifanyeje...?

1:26 AM
Wapendwa Wasomaji....

Nimechanganyikiwa, kwa maana hivi karibuni nimetoka kupata kazi na nimekuja kugundua kwamba bosi wangu ni mke wa boyfriend wangu.

WANAUMEEE!!! ZIJUE SABABU 5 ZINAZOSABABISHA UUME KUWA MDOGO (KIBAMIA)... SOMA HAPA USIJE

12:46 AM
Kundi kubwa la  wanaume  ambao  wanashindwa  kufurahia  tendo la  ndoa  kutokana na kuwa  na uume  mdogo  kupita  kawaida.Wanaume  walio na tatizo  hili  wengi  wao huwa  hawana  confidence  ya   kuingia  katika  mahusiano  na  wasichana  ama  wanawake  wanao  fahamiana  nao  kutokana  na  kuogopa  " siri" zao  kujulikana  hususani  pale  uhusiano  wao  unapofika  mwisho..Ikitokea  mwanaume  akiwa  katika  uhusiano  na  mwanamke "mcharuko" ( asiye  mstaarabu )  mwanamke huyo anaweza  kuanza  kumvua nguo  hadharani  kwa  kumtangazia    kwa  watu  kuwa  na  uume  mdogo ." Mwanaume  utakuwa  wewe!" na  lugha za  namna  hiyo hutawala  midomoni  mwa  wanawake  hawo....
Matokeo  yake  sasa  wanaume walio na  tatizo  hili  huamua  kutokuwa  na  uhusiano wa  kimapenzi na  wanawake  wanao fahamiana  nao, na  badala  yake  huamua kuanzisha   tabia  ya kuwa  wanajamiiana  na  wanawake  wanaouza  miili  yao  ama  kujihusisha  na  upigaji  punyeto n.k.

NINI  CHANZO  CHA  UUME  KUWA  MDOGO.

1. Kupiga  Punyeto  kwa  muda  mrefu..
Hali  hii  husababisha  kusinyaa  kwa  uume  na  hatimaye  uume  kurudi  ndani.

2. Kuugua chango  la  uzazi.
3. Magonjwa  ya utotoni.
4. Kutahiriwa  mapema  
5. Kurithi  kutoka  kwa  wazazi  :
Wanaume  wengine  wana  maumbile  madogo  kwa  sababu wamerithi  maumbile  hayo  kutoka kwa  wazazi  wao.

WANAUME WAMPA MAKAVU MSICHANA ALIYETANGAZA KUTAFUTA BASHA WA KUMUOA, WASEMA WANA WASIWASI NA UTIMAMU WA AKILI YAKE!

12:42 AM
Msichana aliyejitangaza kuwa anahitaji mume wa kumuoa hatimae amepewa makavu live na wanaume na kusema kuwa huenda akili ya bint huyo haiko sawa kwa kitendo alichokifanya.

Hii ndiyo taarifa aliyoitoa dada huyo

 Mimi ni  binti  mjasiliamali  ambaye  nimechoka  kuishi  peke  yangu  na  sasa nahitaji mwanaume  wa  ndoa  anayejiheshimu  na anayejua kupenda.Umri  wangu  ni  miaka 25, elimu  yangu  ni  form six.

 Asilimia kubwa ya wanaume ni wasumbufu  na  wana wanawake  wengi,kitu  ambacho  kwa  upande  wangu sikitaki  maana  najijua  nina  wivu....

Kwa  yeyote mwenye sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema  ambaye  atanipenda  kwa  dhati  na  hatanisaliti  basi anijibu  kupitia  email  yangu. 

Kwa  upande  wangu  namhakikishia  kuwa  ntampenda  kwa  dhati, Sitamsaliti, ntamheshimu  na  ntawapenda  ndugu  na  jamaa  zake  wote  kwa  moyo  wangu  wote.

WANAWAKE WANAVYOSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

12:36 AM

Kesi ya wanaume kupungukiwa nguvu za kiume zimezidi kushika kasi, kiasi cha kufanya dawa za kuongeza nguvu hizo kuwa maarufu na zenye mahitaji makubwa katika jamii.

Waganga wa kienyeji wamekuwa wakitumia dawa hizo kama tiba ya msingi ya kuwavutia wateja kwenye biashara zao. Hii inaonesha kuwa tatizo hili ni kubwa miongoni mwa wanaume wengi katika jamii yetu.

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates