Producer toka Six Records ambae anafanya vizuri na ngoma yake ya mama wa kambo amefunguka kupitia ukurasa wake wa facebook kua anahitaji msichana mrembo atakae husika kwenye ngoma yake ya mama wa kambo ambayo inataraji kufaniwa Video hapa hapa kisiwani zanzibar so kama unahisi unavigezo vya kua mama waa kambo wa side tothelee unaweza kumcheck kupitia Phone namba
0714249514
ebwan
sasa zile siku za kufany video ile ngoma kali ya mama wakambo ime
wadia so nahitaji spota washa biki wangu pia nahitaji mrembo mkali
sana mwea rangi ya video kuazia miaka 16 hadi 23 ki melewano zai
piga namba 0714249514 ili kielewekeee
No comments:
Post a Comment