Pages - Menu

Friday, July 19, 2013

ISMAIL WA KICHEFU CHEFU ALELEZEA MIPANGO YAKE BAADA YA KUJITOA KWENYE KUNDI LA WAVANILLA

 SAUTI TAMU ni project yangu mpya ambayo itaweza kuleta mabadiliko yanayoanza kutokea katika music , project hii itakuwa na member wasiozidi watano , orodha hyo MSANII ni Peke yangu (smile), WASOMI Ambao ni washauri wangu Watatu 3 ,Pamoja na manegemant yangu .. Kwa hyo naomba suport zenu wananchi ili 2weze kufikia sehemu nzuri kama walizofikia wenze2 .nawapenda sana AHSANTENI SANA.

No comments:

Post a Comment