Pages - Menu

Monday, July 22, 2013

LEO KWENYE ZANZIBAR STAR PROFILE LEO TUNAMLETA, WIGO THE PRESIDENT

Aimezaliwa tarehe 8/12/1987  hospital ya bumbuli wilaya ya lushoto mkoa wa tanga jina lake kamili ni william godson jeremiah anafanya kazi kama soloartst  pia yuko kwenye Band ya HAKUNA MATATA BAND, chini ya mkongwe jumanne malembeka

Unaweza ku chat na wigo hapa  www.facebook.com/william.godson.3?fref=ts

sikiliza moja ya kazi zake hii hapa

No comments:

Post a Comment