Pages - Menu

Tuesday, September 24, 2013

WASANII WAUNGANA AFRICA MASHARIKI,DIAMOND MWANA FA NA JOSE CHAMELEONE SWALA LA KENYA

Wasanii wakubwa kutoka East Africa na Africa, Diamond Platnumz, MwanaFA na Jose Chameleone waendelea ku-support wahanga wa shambulizi la wanajeshi wa Al-Shabaab kupitia kampeni ya WE ARE ONE #BadilishaProfile  kwa kubadili profile pictures zao katika mtandao wa kijamii wa twitter MwanaFA, Jose Chameleone, Huddah, Lameck Ditto na wengineo … Wakati huo huo, watu wameanza kuitwa kufuata magari yao katika PARKING walipokuwa wameyaacha kutokana na mashambulizi …
Tukio hilo la WESTGATE jijini Nairobi, linasemekana kupoteza zaidi ya raia 63 nchini humo … See the artists accounts …


No comments:

Post a Comment