Pages - Menu

Sunday, July 1, 2012

P-SQUARE SPEED 1800



P square toka Nigeria wanalakutuambia wa Africa baada ya kutupia picha na Drake
Baada ya kumweka Rick Ross kwenye remix ya Beautiful Onyinye na kuhitendea haki, sasa wanajaribu kuona kama wanaweza kupiga ngoma na mwana YMCMB, Drake.

Haijathibitishwa rasmi lakini picha hii iliyowekwa kwenye page yao ya Twitter inaashiria kuwa very soon watapiga ngoma na Mbabe wa Chris Brown ambaye hivi karibuni alipiga chupa Brown na kukimbilia chooni..
Photo: P square toka Nigeria wanalakutuambia wa Africa baada ya kutupia picha na Drake
Baada ya kumweka Rick Ross kwenye remix ya Beautiful Onyinye na kuhitendea haki, sasa wanajaribu kuona kama wanaweza kupiga ngoma na mwana YMCMB, Drake.

Haijathibitishwa rasmi lakini picha hii iliyowekwa kwenye page yao ya Twitter inaashiria kuwa very soon watapiga ngoma na Mbabe wa Chris Brown ambaye hivi karibuni alipiga chupa Brown na kukimbilia chooni..

MAONI >>>
By DUPA the DJ

No comments:

Post a Comment