Pages - Menu

Monday, October 29, 2012

ZEE TOWN HIP HOP WITH ISON MWANAHARAKATI & TANGO RYMEZ Jr

Tharau ,kwa Wasanii wa zanzbar , tume choka kufanywa kama vikatuni , sisi ndio wafunguaji wa show , tunapoenda kufanya kazi dar hatupati ubora unao stahiki , ngoma zao zina chezwa zaidi huku kwetu zakwetu kwao hazipigwi . Tumechoka
MEJJA_Most whanted. Mwambieni asidanganye vyombo vya habari
2Unlike · ·

No comments:

Post a Comment