![]() |
Walter baada ya kukabidhiwa zawadi ya Milioni 50 alizojishindia |
Shindano la mwaka huu lilionekana kuwa na ushindani mkubwa kutokana na uwezo mkubwa waliokuwa nao washiriki hasa waliofanikiwa kuingia hadi hatua ya 5 bora.
Walter aliibuka mshindi baada ya kufanikiwa kuingia 2 bora na bibie Salma kutoka Zanzibar alietoa ushindani wa hali ya juu.
No comments:
Post a Comment