Taarifa toka maeneo ya kwahani zinadai kumetokea biff kati ya man tuzzo na kira kirami chanzo ni simu ishu iko ivi "inasemekana kira kirami amemuzia simu aina ya black bery (bold) man tuzzo kwa makubaliano flani ila man tuzzo hajatekeleza kile walicho kubaliana,
Sijaju walikubaliana kitu gani kesho tutamtafuta Kira kirami na Man tuzzo tujue nini kilitokea
No comments:
Post a Comment