Mchumba wa Nay wa Mitego apoteza kichanga chake tumboni
Mchumba wa Nay wa Mitego apoteza kichanga chake tumboni baada ya kuanguka. Nay wa Mitego anasema#Jana usiku mke wangu alianguka,alifikia tumbo kwa
hiyo akawa anasikia kizunguzungu nilipompeleka hospital daktari akasema
mtoto amekufa.
No comments:
Post a Comment