Alikuwa na marafiki wa
aina zote na mashabiki ,Siku iyo hakuwa peke ake alikuwa na wasanii
wenzake kama DULL SYKS,KAMIKAZE,QUICK RAKA,SARMIL,MIRROR,V-MONEY( vannesa mdee)RICH MAVOKO na show nzima ilishereheshwa na mtu mzima B-DAZEN,B12-B-TWANGALA toka XXL ya clouds fm.
No comments:
Post a Comment