BREAKING: Mchungaji Christopher Mtikila wa DP amefariki.
Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa chama cha kisiasa cha DP Christopher Mtikilaamefariki dunia alfajiri ya leo wakati akitokea Morogoro kuelekea Dar es salaam.
Taarifa zilizotufikia kupitia kwa kamanda wa Polisi Pwani Jafari
Mohamed amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na alifarika saa 12
kasorobo katika kijiji cha Msolwa, Chalinze akiwa kwenye gari ndogo huku
wenzake watatu wakijeruhiwa vibaya.
No comments:
Post a Comment