YALIYOJIRI KWENYE UZINDUZI WA FILAMU MPYA YA WEMA SEPETU @HYATT KILIMANJARO HOTEL


WEMA SEPETU @HYATT KILIMANJARO HOTEL

 Wageni waalikwa wakiitizama filamu hiyo ya Wema inayoitwa Super Star

 Quick Rocker & Frank Gonga

 Irene Uwoya

 mziki ulinoga viatu vikavuliwa

Mwanadada SHAA jana alifanya show nzuri sana na alitunzwa hela nyingi na kila mtu aliependa alichokuwa akikifanya. Napenda unavyojiamini Shaa endelea na uzi ule ule
Omotola & Wema Sepetu wakiingia ndani ya Hotel ya Giraffe 

 Hapa Wema alikuwa akimwambia kwa kithungu kile ambacho MC alichokuwa akikizungumza

Ben Kinyaiya, Omotola & Wema Sepetu, hapa alikuwa Omotola akizungumza na watanzania waliofika katika Hotel ya Giraffe

Babuu wa kitaa aka Babu Bomba akiwakaribisha mabibi Bomba kwa steji wapite kama Mamiss

 Mtoto huyu alikuja mbele na kuchukua picha za kumbukumbu katika iPad yake

 Baada ya hapo huyoooo akajikata zake, hana habari na mtu hahaa

 Marafiki zangu Jasmin & Zamda

 Hawa dada zangu bwana walikuwa na furaha sana walivyoniona wakasema jamani na sisi tunaomba tujiachie kwenye camera ya djchoka

 Chezea Vuvu wewe

 Na mimi nikapata picha ya kumbukumbu si mbaya...

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates