WENGI HAWAMUELEWI ROMA MKATOLIKI


HAHAHAHAHA UPEO WENU MDOGO SANA NARUDIA TENA UPEO WENU MDOGO MNO...NILIWAHI MWAMBIA DULLA WA PLANET BONGO KUWA AFTER TUZO MAISHA HUBADILIKA NA HATA UKIANDIKA KITU FLANI UTAAMBIWA KISA TUZO HAHAHAHA NDO HAYA SASA..WAKATI KUMBE B4 TUZO NILISHAWAHI ANDIKA STATUS HII HII(wanaonifatilia watakumbuka)NA KOMENTI NYINGI KAMA SIO ZOTE ZILINISAPOTI HAHAHAHAHA safi sana hii nimeipenda great challenge...NGOJA NIWAMBIENI KI2 HAKUNA SHABIKI MZURI KAMA HUYO NILIYEMTAJA HAPO...UNAJUA KUWA INDUSTRY YA FILAMU IMEKUZWA SANA NA MABEKI TATU?WAOO NDO MAJUMBANI HUPENDA KUTAZAMA BONGO MUVI NA KUSIKIZA MIZIKI YA KIBONGO YENYE TACHI KAMA BEST NASO, ROMA,AFANDE SELE,20 PASENTI, NA WENGINEO WENYE MLENGO HUO KAMA VINAPANDA BEI YA BLAD KEY(chunguza ndo uongee wana msipaniki tuu) NI NGUMU SANA KUKUTA BEKI 3 ANAMUELEWA KWIK RAKA, WAKACHA,(basi hapo pia mtasema nimewaDIS hahahahaha dah)...SO HAO NDO MASHABIKI WE2 NA HUYO BEST NASO NI MFANO TU WA KUWAKILISHA WASANII KAMA YY!! TAZAMA SHOW ZA BURE KAMA TIGO,EATEL NA VODA ZA VIWANJANI..UNADHANI WANAOJAA NI KINA NANI? MABEKI3,WATU WA BODA BODA,MAHAUS BOYZ,YANI WATU FLANI HIVI AMBAO HAWAWEZI KWENDA BILICANAZ AU MAISHA CLUB(chunguza)SIO WOTE BUT MAJORITY NAZUNGUMZIA!!!NA NDOMANA WASANII WA AINA HIZI ZA BEST NASO LAZIMA TUPATE SANA SHANGWE NA KUPOKELEWA POA KOZ NDO CHAKA LE2!!! sasa roma unipeleke kempisk kupiga show...hahahahahaha..nilishafanya show kunduchi na dj choka nakumbuka pale wet n wld...walijaa wahindi sana basi nilikuwa natazamwa tu hadi aibu!! bt nilikuwa muelewa kuwa lile sio chaka langu!!!ila yupo msanii ambae walimuelewa hao wahindi...bt msanii huyo huyo aliepokelewa na wahindi...nipeleke nae mbagala dar live sasa ndo utajua roma ni chaka lake au aje!!?SO HAO NDO WANYONGE TUNAOWAWAKILISHA KAMA MAANA YA KIDOLE CHA MWISHO!! PITIA PITIA WALINZI WOOOTE WANAOLINDA NYT AAAF KAGUA SIMU ZAO UTAKUTA NGOMA ZA WASANII GANI? SASA JE NIKISEMA ROMA ANAPENDWA SANA NA WALINZI NI MATUSI(aaaah tusizinguane hapa na uelewa wenu hafifu hamjui loloteeee kama ipo ipo tu!! aaaf hawa marafiki wanao sisitizaga roma ni add roma ni add plz ndo hawa hawa wanaletaga uduzanzi kwa uelewa wao mdogo!!...NA BLOCK TU SASA NIMEPANIKI DIZAINI!!) MWENYE SIKIO NA AMESIKIA NA ASIEJUA MAANA HAAMBIWI MAANA...SORRY NAISHIA HAPA

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates