LEONA Lewis ameamua kujaribu bahati yake kwenye rap na
albam yake mpya itakuwa imejaa michano tu.
Na mrembo huyo anajiamini kuwa atakuwa tishio kubwa kwa Nicki
Minaj ambaye hana mpinzani kwa sasa kibiashara.
Mwanamuziki huyo wa Uingereza kwa sasa anamalizia
malizia ngoma yake mpya ambayo anasema itakuwa tofauti kabisa.
Akiongea na gazeti la The Sun Leona amesema : "On
my new album I will be rapping. I've discovered my voice for rapping.
"I could probably go up against Nicki Minaj now.
I'm actually that good, so I'm coming for you Nicki! London style MCing."
Post a Comment