Leona Lewis sasa kurap, amwambia Minaj: 'I'm coming for you Nicki!'


LEONA Lewis ameamua kujaribu bahati yake kwenye rap na albam yake mpya itakuwa imejaa michano tu.

Na mrembo huyo anajiamini kuwa atakuwa tishio kubwa kwa Nicki Minaj ambaye hana mpinzani kwa sasa kibiashara.

Mwanamuziki huyo wa Uingereza kwa sasa anamalizia malizia ngoma yake mpya ambayo anasema itakuwa tofauti kabisa.

Akiongea na gazeti la The Sun Leona amesema : "On my new album I will be rapping. I've discovered my voice for rapping.


"I could probably go up against Nicki Minaj now. I'm actually that good, so I'm coming for you Nicki! London style MCing."

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates