Sikiliza ujumbe wa Rama Dee kwa watanzania baada ya kuitafakari show ya Rick Ross,

Wengi walitoa maoni mbalimbali baada ya show ya Rick Ross msanii ambae wengi hawakuamini kama kweli angeshuka bongo land kutoa burudani kwa watanzania, lakini kwa nguvu kubwa Clouds Media Group walifanikisha, na hapa kwa kweli wanastahili pongezi sana kwa kuthubutu kumleta msanii aliye kwenye pick ya ulimwengu wa muziki kwa sasa (they made it).

Lakini baada ya show iliyopigwa katika viwanja vya Leaders wengi walikuwa na maoni tofauti tofauti, wapo waliosifia na walioponda baadhi ya vipengele.

Rama Dee ambae ni mwimbaji mzuri sana wa R&B hapa Tanzania ambae kwa sasa yupo nchini Australia ameitumia ujumbe wa sauti kuhusu show ya msanii huyo wa kimataifa, ikiwa ameuelekezea kwa watanzania

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates