Wakati
ile Event kubwa ambayo imewakutanisha wale mastar ambao wametoklezea
katika orodha ya Time ya wati 100 wenye influence zaidi duniani ikiwa
imefanyika huko New York Marekani na Rapa Jay Z akiwa ni moja kati ya
watu wakubwa waliomiss tukio hili, Tayari imeshafahamika ni kwasababu
gani mkali huyu hakuwawepo katika tukio hili kubwa.
Jay
Z pamoja na Beyonce na mtoto wao Blue Ivy, kwa mara nyingine kati ya
zile chache sana ambazo zimewahi kutokea, wameonekana waziwazi huko
Paris Ufaransa wakiwa wanapata msosi wa mchana katika mgahawa mmoja
maafuru, ikiwa ni Tym ya pamoja ya familia mbali na majukumu mbalimbali
ambayo mara nyingi huwa yanawaweka mastar hawa mbali mbali.
Enjoy the pictures;
Post a Comment