ISMAIL WA KICHEFU CHEFU ALELEZEA MIPANGO YAKE BAADA YA KUJITOA KWENYE KUNDI LA WAVANILLA

 SAUTI TAMU ni project yangu mpya ambayo itaweza kuleta mabadiliko yanayoanza kutokea katika music , project hii itakuwa na member wasiozidi watano , orodha hyo MSANII ni Peke yangu (smile), WASOMI Ambao ni washauri wangu Watatu 3 ,Pamoja na manegemant yangu .. Kwa hyo naomba suport zenu wananchi ili 2weze kufikia sehemu nzuri kama walizofikia wenze2 .nawapenda sana AHSANTENI SANA.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates