Mchumba wa Nay wa Mitego apoteza kichanga chake tumboni


Mchumba wa Nay wa Mitego apoteza kichanga chake tumboni baada ya kuanguka.
Nay wa Mitego anasema#Jana usiku mke wangu alianguka,alifikia tumbo kwa hiyo akawa anasikia kizunguzungu nilipompeleka hospital daktari akasema mtoto amekufa.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates