Picha: Wasanii na watangazaji walivyo futari na Raisi na familia yake Ikulu Dar

Wasanii mbali mbali na watangazaji walipata kualikwa ikulu jijini Dar, kwa ajili ya kuftari na Mh Raisi pamoja na familia yake.mara baada ya kuftari Mh Kikwete aliongea mawili matatu ikiwa ni pamoja na kuwapa moyo wasanii kwa kuendeleza sanaa maana hata yeye anapenda kusikiliza miziki yao

B12

Fetty

Dj Mully B



Jafarai na inspector Haroon

Qchief na Babu Tale 



Mwasiti, Fetty na Shilole

Chege, Nyandu Tozi na Madee

Kassim Mganga

Adama Mchomvu

Ben Pol (wa pili kutoka kulia)

Linex (wa kwanza kulia)







Looking good MashAllah, TID, Jafarai na Z Anto


Mzee mkorofi, Suma Lee


hahahaa Mbwiga nae hakukosa

Shekh AY na Ali Kiba

Marlow na Sam Misago


Feruz na Fela

Lamar na P Funk

Quick kama sio yeye loooool 








Hemedi Phd

Adama Juma

Dogo Asley


King Crazy GK


Shilole



Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates