CHEK HICHI KIOJA CHA KUTISHA SANA

Kioja kimetokea katika mtaa wa Utange mjini Mombasa ambako msichana mmoja adaiwa kunya vyuma kila anapoenda haja kubwa. Msichana huyo wa umri wa miaka kumi amekunya makasi, kisu na msumari. Wakaazi wa eneo hilo wanahusisha tukio hilo na ushirikina. 
 

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates