PICTURES HIVI NDIVYO JENGO LA WESTGATE LILIVYOPOROMOKA

Westgate
Kupomomoka kwa jengo la ghorofa tatu ndani ya Westgate Mall baada ya mlipuko uliosababisha vifo vya magaidi wa 5 na na wengine 11 kushikiliwa na Polisi siku ya Jumamtatu Sept 23, 2013 kama unavyoonekana katika picha magari yaliyokua yameegeshwa juu ya paa la magesho ya magari yakiwa yameanguka chini kwa mlipuko huo.
 
Conflicting reports: A minister said the terrorists had set mattresses on fire, causing the roof to collapse
Paa la maegesho ya magari likiwa limebomoka kutokana na mlipuko huo.
Assessing the damage: Kenyan government officials accompanied by armed security officers tour an outside upper level near a collapsed floor of the Westgate mall
Wananusalama wakijadili jambo baada ya jaribio hilo la Westgate Mall kuzimwa baada ya mlipuko uliosababisha jengo la ghorofa 3 kuporomoka baada ya magaidi wa Al Shabab kuvamia Mall hiyo siku ya Jumamosi Sept 21, 2013 na kusababisha vifo nya watu 69 na wengine 175 kujeruhiwa huku kikundi hicho cha Kigaidi kudai kwamba hawataishia hapo mpaka Kenya itakapoondoa majeshi yake Somalia.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates