| Nay kwa stage |
| Sitii neno hapa.......... |
| Anaimba vitu gani huyu!!!? |
| Mziki hamuuwezi nyie ni ubabe tu..bora nikimbie usijenitia mbata ..ha ah ha ha!! |
| Hii stayle alipoitoa Nay,anaijua mwenyewe |
| Baada ya show backstage na baadhi ya mashabiki waliotaka kupiga picha kwa ajili ya kumbu kumbu zao |
Post a Comment