VODACOM WAINGIA MKATABA NA DIAMOND PLATNUMZ RASMI KATIKA KUIKUZA NGOLOLO DANCE

DSC_0120
Mkuu wa masoko na mawasiliano Kelin Twissa  kulia na mwanamuziki Diamond Platnumz katikati wakitia saini ya mkataba baina ya Vodacom na msanii Diamond Platnumz unaoipa haki Vodacom kutumia wimbo wake mpya wa my number one .

DSC_0081
Mwanamuziki Diamond Platnumz Kushoto akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Ngololo Dance  kulia akiwa ni mkuu wa masoko  wa Vodacom Tanzania (Kelvin Twisa.)
DSC_0050
Mkuu wa mahusiano wa nje toka Vodacom Tanzania bw. Salimu Mwalimu akizungumza na mwanamuziki Diamond Platnumz wakati wa makubaliano ya kusaini mkataba unaoipa Vodacom Nafasi ya kuutumia Wimbo wake mpya wa My number one .
Pia Diamond Platnumz amezungumzia ni kwa namna gani Mtanzania atashiriki shindano la Vodacom Ngololo kwa kupata LIKES nyingi zaidi katika mtandao wa INSTAGRAM.
Fuata maelekezo haya.
ngololo

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates