Sinta na Nyoshi El Sadaat kuja na ‘The Return of JLO'


Mwanadada Sinta na mwanamuziki wa kundi la Fm Academia, Nyoshi El Sadaat wanakuja na filamu iitwayo The Return of Jlo.
Filamu hiyo inayoongozwa na muongozaji maarufu wa kampuni ya Steps Entertainment, Selles Mapunda itaingia sokoni mwezi September, 2012.
Kupitia website yake, Sinta ameandika:
“Jumamosi saa nne na robo usiku ndio itakuwa habari ya mujini pale movie yangu ya the return of jlo itakapoanza vibweka vyake katika station yako ya star Tv.Ni vipande tuu,mpango mzima ni mwezi wa tisa, si ya kukosa ikiingia madukani maana I’m back like  never went. Saa ni saa nne na robo usiku.Star Tv  na Sauda mwana wa Mwilima.Glory be to God.
Sinta na Nyoshi wakiwa kwenye scene
Hata hivyo baadhi ya wasomaji wa website yake wameendelea kumkejeli kama ilivyo kawaida.
“Subiri tukusifie we mbwiga …..uzinduzi waufanyia hollyowood au kule kwenu kimara????? Kuchamba kwingi kushika mavi na usijidai baharia kumbe wajiharia, kuwa msomi kama unavyojinadi,” aliandika mmoja.
Selles Mapunda na Sintah
Mwingine alisema,”Dah kweli wewe u r not creative, bingwa wa kucopy paste sasa hivi atamwambia baby yake amnunulie nyumba iliaoneshe kwenye tv, kubwa jinga hili limama linaloshindana na watoto.”

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates