Ufahamu mjengo wa P-Square – Square Ville



Mitandao ya burudani nchini Nigeria inadai kuwa kupata kiwanja kwenye maeneo ya Omole (Ikeja, Lagos) nchini Nigeria ni Naira milioni 100 ambako ndiko nyumba ya P-Square waliyoipa jina la Square Ville ilipo. 

Hizo ni sawa na zaidi ya shilingi milioni 900 za Tanzania.  Mingine inasema kuwa ukiiangalia nyumba yenyewe gharama yake ya haraka haraka ni zaidi ya dola milioni 2 za Marekani ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 3.1 za Tanzania, Damn!
Eneo la swimming pool
Sebule mojawapo



Awali nyumba hiyo inajengwa watu walipiga hesabu na kubaini kuwa imegharimu naira milioni 300 sawa na zaidi ya shilingi bilioni 2 na kitu. Wakati huo vitu vya ndani vilikuwa havijawekwa bado.

Square Ville ina bwawa la kuogelea, sebule sita, master bed rooms kumi n azote zikiwa na furniture za nguvu na mengine ambayo si lazima kuyataja.
Dah! P-Square wako mbali sana jamani!


Akon alipowatembelea March mwaka huu (angalia hizo tuzo nyuma yao)
Welcome to Square Ville

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates