Wema Sepetu ni mjamzito?




So Wema Sepetu strikes again? This time sio kuhusu wedding dress tena na mipango ya harusi kama alivyosema last time. Sasa hivi kaja na jipya. We must admit that she is very good at teasing her followers on Twitter with controversial statements and unfortunately we all fall in her deliberate traps!
Okay weekend iliyopita kaja na jipya. “Am not in a good kabisa! hichi nachokihisi ndo chenyewe ama? Hehehhehhe,” alitweet.
Tafsiri ya haraka haraka kama ndo umekuta na sentensi hiyo mbele ni nini? Ofcourse, sisi pia tunafikiria hivyo hivyo unavyofikiria sasa, kwamba anahisi ni mjamzimto, what else?
Kama kawaida followers wake wakaingia kwenye mtego na maswali yakaanza, “Wema kipi tena?,” That’s what she wanted to hear right? “Shijuwiiiiiiii,” alijibu na kuchokoza maswali mengine yalioanza kumkera tena! “Hiyo ya Diamond au?,” akaulizwa na mtu mwingine, (Prank gone wrong Wema?). Hata hivyo alijikaza na kujibu, “Umetumwa?”
Baada ya kusikia Diamond kaingizwa kwenye mazungumzo akaamua kukaa kimya kama panya aonapo paka, na mada ikabadilika.
Katika hatua nyingine picha za hivi karibuni za Wema zinazomwonesha akiwa mweupe zaidi ya mwanzo, zimekuwa topic kwenye mitandao ya kijamii. Wengi wameoneshwa kutofurahishwa na mabadiliko hayo makubwa ya ngozi yake ambayo wanadai yametokana na mkorogo.
“Wema wa zamani alikuwa mzuri sana natural colour, kwa sasa hivi umekuwa una rangi mbaya ya ngozi.Naweza kusema inakaribia kufanana na ya Michael Jackson,” aliandika msichana mmoja aitwaye Mariam.
Msichana mwingine aitwaye Pauline alimtetea kwa kusema: “Hakuna aliyekamilika chini ya jua na siku zote embe tamu na lililoiva ndio linalotupiwa mawe.Kiukweli Wema ni mzuri ndio maana anafuatwafuatwa mara magazeti mara raia, hebu muacheni jamani mnamsema kwa mabaya tu ina maana huyo Wema hana jema hata moja?”
She looks beautiful though, doesn’t she?

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates