HABARI ZISIZOTHIBITISHWA SHARO MILIONEA AMEFARIKI DUNIA

R.I.P Sharo milionea
Msanii mahiri wa uchekeshaji na mwanamuziki wa Bongo Fleva Sharo Millionea amefariki katika ajali ya gari huko Muheza mkoani Tanga. Tutaendelea kuwajulisha kadiri tutakavyopata habari zaidi. Mungu ailaze roho ya marehem maali pema peponi Ameeen..................

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates