SAD - SAYNAG AMEFIWA NA MAMA AKE MZAZI LEO


Taarifa zilizo tufikia ivi pundu zinaseama kua mwana dada saynag amefiwa na mama ake mzazi akiongea na chiwileinc mtu wa karibu na saynag ( fan kiss) amesema  Ni kweli saynag amefiwa na mama ake mzazi leo asbuhi alikua hospital mda mlefu sana akisumbuliwa na ugonjwa kwa kansa hadi juzi alivyo rudishwa nyumbani na leo asbuhi amefariki

R.I.P

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates