Mabibi na mabwana, toleo
jipya la mwezi November la jarida ulipendalo la Bongo5 hatimaye
limeingia mtaani rasmi likiwa na mastory kibao tena very exclusive. Mfahamu
vizuri Salama Jabir kama ana mpenzi ama lah! Unafahamu kuwa anataka kuja kuwa
mama siku moja? Nani wa kuziba pengo la Kanumba? Jipatie nakala yako kujua
wadau wa filamu wanawataja akina nani! Kuna makala nyingine kama ‘Lulu na
Kajala na mwisho unaosikitisha’, Feza Kessy aingia rasmi kwenye muziki, soma
ujue alivyojipanga.
Kuna makala ya Swahili Rap Inspiration iliyoandikwa na Ezden
Jumanne ambapo utafamu impact ya NikkiMbishi aka Baba Malcom, One the Incredible
na Stereo kwenye Hip hop ya Tanzania.
Unataka kuwafahamu wasanii wa kiume wanaokimbiza zaidi sasa
hivi Tanzania? Makala ya Bongo Kings itakupa jibu. Makala ya ujio wa Rick Ross
waipa heshima Tanzania na wasanii watano waliofunika zaidi kwenye Fiesta.
Makala ya Kona ya Mjasiriamali isemayo: ACHA KUTAFUTA KAZI, ANZA KUTAFUTA
FURSA. Unawafahamu wanasayansi wachanga wa Tanzania?
Kijana unafahamu haki na wajibu wako? Pata nakala yako
uzijue. Kuna safu inaitwa Haileweki ambapo kuna kali kama, Nani aliyemtupia TID
skendo ya kutaka kumuua Ali Kiba? Pamoja picha za kuvutia za matukio kama
Fiesta Dar, Uzinduzi wa filamu ya Skyfall - Mlimani City na mambo mengine
mengi!!
Pata nakala yako kwa shilingi elfu tatu tu.
Post a Comment