Jaguar anaefanya vizuri kwenye muziki wake huko nchini Kenya na Africa
kwa ujumla inasemekana he had purchased ndege yake hiyo binafsi siku za
nyuma kipindi cha kampeni za uchaguzi nchini Kenya na ameshaitumia mara
kadhaa ... Jaguar
ambae hivi karibuni ameachia single yake mpya inayojulikana kama
KIPEPEO inasemekana amenunua ndege hiyo ambayo pia ameshaipa jina lake,
yaani AIR JAGUAR ...
Jumamosi moja katika uwanja wa ndege wa Wilson Airstrip uliopo nchini
Kenya, Jaguar anasemekana kuitumia ndege hiyo inayopandisha abiria sita
kwenda kustarehe huko Great Lake Resort, Niavasha akiwa na baadhi ya
wasanii wengine …
Post a Comment