WASANII WAUNGANA AFRICA MASHARIKI,DIAMOND MWANA FA NA JOSE CHAMELEONE SWALA LA KENYA

Wasanii wakubwa kutoka East Africa na Africa, Diamond Platnumz, MwanaFA na Jose Chameleone waendelea ku-support wahanga wa shambulizi la wanajeshi wa Al-Shabaab kupitia kampeni ya WE ARE ONE #BadilishaProfile  kwa kubadili profile pictures zao katika mtandao wa kijamii wa twitter MwanaFA, Jose Chameleone, Huddah, Lameck Ditto na wengineo … Wakati huo huo, watu wameanza kuitwa kufuata magari yao katika PARKING walipokuwa wameyaacha kutokana na mashambulizi …
Tukio hilo la WESTGATE jijini Nairobi, linasemekana kupoteza zaidi ya raia 63 nchini humo … See the artists accounts …


Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates