KAMPUNI YA KUUZA RINGTONES ZA KAZI ZA WASANII NA BONGO RECORDS ZATOA TAMKO JUU YA MAUZO YA KAZI ZA NGWEA

kumuenzi na kuenzi kazi zake ili ziendelee kuishi daima na familia na kazi zake.

yake iweze kufaidika Kampuni inayojishughulisha na mauzo ya ringtones za kazi za wasanii "Push Mobile" na studio iliyofanya kazi nyingi za msanii marehemu Albert Mangwea zimetoa tamko juu ya mauzo ya kazi za Mangwea, ambapo imeomba mashabiki wake wanunue kazi hizo kwa wingi kupitia mitandao ya simu kwa kupitia Code Maalumu, kama njia moja wapo ya kuenzi kazi zake

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates