STORY YA JAY Z KUKUTANA NA PREZZO CHECK VIDEO HAPO CHINI

Jay Z alipokutana na Prezzo wa Kenya in New York.
Jay Z alipokutana na Prezzo wa Kenya in New York.
Sehemu ya stori kubwa za AMPLIFAYA ya @CloudsFM mwaka 2012 ilikamilishwa pia na ripoti za staa wa Kenya CMB Prezzo kukutana na Jay Z, baada ya ushindi kwenye nafasi ya pili kwenye jumba la Big Brother Africa 2012, Prezzo alipata dili la One Campaign ambalo pia Jay Z ni mmoja wa mastaa waliopewa shavu kama hilo.
Siku kadhaa baadae Prezzo alisafiri mpaka Marekani ikiwa ni sehemu ya majukumu ya One Campaign ambapo pia alikutana na Jay Z kwenye jiji la New York.
Sekunde zako 26 unaweza kuzitumia hapo chini kutazama hii video ya Prezzo alipokutana na Jay Z, rapper ambae ni mmoja wa mastaa wa dunia ambao sio rahisi kumfikia hata kupata picha pamoja nae, rapper ambae hata kujibu tweets huwa ni ngumu sana…. juzijuzi alijibu tweets kwa mara ya kwanza ikawa ni historia na nilimsikia Dee Andy wa XXL Clouds FM akiripoti kwenye 255 kwamba twitter wenyewe ilibidi wampigie simu kuuliza kama ni yeye kweli au kuna mtu kaingia kwa kuibia?

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates