Latest Updates

Showing posts with label Profesor Jay. Show all posts
Showing posts with label Profesor Jay. Show all posts

CHECK PICTURES PROFESA JAY AKIWA NA MWANAWE WA KIKE NA MUONEKANO WA NYUMBA YAKE KWA MBALI

11:45 AM


Picha Na Sababu Za Studio Ya Profesa Jay Kuitwa Mwanalizombe Studios,Fuatilia Hapa

10:25 AM
 Mwanalizombe Studios Ni Recording Lebel Inayomilikiwa na Rapper Profesa Jay, Studio ipo msasani na Ameamua kuipa Jina la Mwanalizomba kwasababu Jay Ni mtu wa Ruvuma na Mwanalizombe maana yake ni Mwana Ruvuma na kufanya hivyo ameonyesha mapenzi ya mkoa wake wa Ruvuma. Producer kwenye studio hii ni Duke Touchez.

 Profesa ameshindwa kusema amewekeza kiasi gani cha fedha kwenye studio hio ila fahamu kuwa vifaa vilinunuliwa kwa wakati tofauti na ni vifaa vya hali ya juu sana.
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates