Latest Updates
Showing posts with label Profesor Jay. Show all posts
Showing posts with label Profesor Jay. Show all posts
Picha Na Sababu Za Studio Ya Profesa Jay Kuitwa Mwanalizombe Studios,Fuatilia Hapa
Mwanalizombe Studios
Ni Recording Lebel Inayomilikiwa na Rapper Profesa Jay, Studio ipo
msasani na Ameamua kuipa Jina la Mwanalizomba kwasababu Jay Ni mtu wa
Ruvuma na Mwanalizombe maana yake ni Mwana Ruvuma na kufanya hivyo
ameonyesha mapenzi ya mkoa wake wa Ruvuma. Producer kwenye studio hii ni
Duke Touchez.
Profesa ameshindwa kusema amewekeza kiasi gani cha fedha kwenye studio hio ila fahamu kuwa vifaa vilinunuliwa kwa wakati tofauti na ni vifaa vya hali ya juu sana.
Profesa ameshindwa kusema amewekeza kiasi gani cha fedha kwenye studio hio ila fahamu kuwa vifaa vilinunuliwa kwa wakati tofauti na ni vifaa vya hali ya juu sana.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)


