Tamasha la ZANZIBAR INTERNATIONAL FILM FESTIVAL likiwa linaendelea visiwan zanzibar jana tarehe 11/07 alikuepo DIAMOND na kijana kutoka ZANZIBAR SULTAN KING.,....
Katika hali isio ya kutegemewa, msanii BERRY BLACK kutoka visiwani humo alijikuta mikonon mwa mabausa watuliza fujo.
Post a Comment