JINSI YA KULINDA PENZI LAKO



Leo rafiki zangu napenda ku-share hisia ambazo sina uhakika kama ni mimi tu ndio huwa nazipata au vinginevyo. Kama hujawahi kuzipata basi endelea kusoma ili ujue kwa undani.
Nafahamu kuwa unafahamu kwamba mwanamke siku zote anachelewa kufika kileleni hali inayofanya waume/wapenzi wetu kufanya wawezalo ili mwanamke uanze kisha yeye amalizie....awe wa mwisho.
Hali hii ikizoeleka inakuwa "boring", yaani kila siku wewe unakuwa wa kwanza! Inakuwa routine kitu ambacho mimi binafsi nakipiga vita kutokea kwenye mahusiano ya kimapenzi kwani kinaweza kufanya ule msisimko wa uhusiano wenu kuwa "butu" yaani uhusiano hauna masham-sham a.k.a hauna "makali"
Licha ya hivyo, kuna wakati wewe mwanamke unataka kuhisi "uanamke wako" yaani kama ni mwanaume basi atasema mwanaume aliyekamilika.
Ukamilifu wa mwanamke sio tu kujua aina za mapishi, kutoa penzi, kuwa mwepesi wakati wa kungonoana, mwenye kulipenda umbile lake zuri alilojaaliwa na Mungu, usafi na mwenye kuvutia bali pia uwezo wa kujua kumuwahisha mpenzi hasa kama mpenzi wako ni mmoja kati ya wale waliojaaliwa kwenda "mwendo mrefu" au kazoea kujizua na hivyo anashindwa kujiachia ili awahi....
Au inawezekana kabisa bao la kwanza kutoka kwake mpenzi wako linakuja haraka (kawaida kwa wanaume wengi hasa kama anahamu  sana)lakini yatakayofuatia yanachukua "mwaka" hali inayoweza kukufanya utake kumuona mpenzi wako anakuja tena na tena....
Unaweza kujitahidi kumfanyia manjonjo na masham-sham ili ashindwe kujizuia na kumaliza mapema lakini njemba haifiki walanini.....hii ikitokea usikate tamaa na kujishtukia kuwa huwezi "game"...."game" unaiweza ila hujampatia tu......sasa nitakupa kambinu ambayo mwanaume yeyote hawezi kujizuia ikiwa utazipatia mbinu  hizi.
Kumbuka unapofanya hii mbinu lengo ni wewe na yeye kufurahia hivyo haijalishi ikiwa mtafika wote au yeye kuanza.........utahisi mchanganyiko wa hisia za raha, furaha, ukamili kama mwanamke na mapenzi ya dhati kwa mpenzi wako......inategemea zaidi na unavyolichukulia tendo hili takatifu, kama ni mpenzi wa tendo hili kama mimi basi utakuwa umenielewa vema.

Mkao-Kama kawaida mkao ni kifo cha mende
na mtindo ni mwanamke chini.....kifo cha mende ni mkao wenye mitindo mingi ambayo haichoshi na inakuwezesha wewe mwanamke kuwa in control na kuwa huru kumfanyia mume/mpenzi wako mambo mengi kwa kutumia uke wako kuliko mikao migine.
Si kwa vile nimesema kifo cha mende basi wewe unakimbilia kitandani na kujilaza chali na kujipanua.....hapana! cheza-cheza nae mpe ile inaitwa "stata", au "hapitaita" kabla ya mlo kamili(hajalishi ni mzunguuko wa ngapi)....si unajua kuwa kila bao lina utamu tofauti??
Ili asijue nia yako ni nini basi unapaswa "kuzuga" na kumlaza yeye pale kitandani na kuanza kumfanyia "uchunguzi wa kina" kwa kutumia mikono/vidole, matiti, midomo, ulimi, mashavu ya uke.....na hakikisha unagusa kila kona ya mwili wake ambayo wewe unajua anapenda kuguswa.....
Baada ya hapo, jilaze pembeni yake na kumvuta ili aje juu yako au njia rahisi ni kukalia uume wake na kuhakikisha umeingia vya kutosha ndani yako alafu jilaze (full) juu yake bila uume kuchomoka kisha mkumbatie alafu jibilingishe nae.....hapo atakuwa juu yako moja kwa moja.....panua miguu yako vya kutosha ili kukuwezesha kuzunguusha kiuno cha ngono (sio kile cha ndombolo....).
Akisha kuwa juu yako muachie apige "tako" zake mbili/tatu yaani aende juu-chini au nje-ndani mara chache huku wewe ukizunguusha kiuno taratibu kutafuta kona nzuri ya kukibana kichwa......kisha mwambie atulize “ball” yaani hakuna ku-move.....no more takoz!
Alafu sasa, shikilia makalio yake na jaribu kuyakandamiza dhidi ya sehemu ya juu ya uke wako ili kumfanya asi-move(akitaka anaweza) lakini hiyo itakusaidia kumkumbusha kwa kumrudisha ndani kila akitaka kutoka kutokana na utamu.....na vilevile kukupa balance ya kufanya ukifanyacho.
Sasa anza kuzunguusha kiuno chako cha ngono ambacho kitakufanya uhisi kichwa cha uume kinasugua kona ya uke wako pale ulipoubana ktk mtido wa kuzunguuka, kubana na kuachia......endelea kuzunguusha kiuno chako cha ngono ktk nusu mzunguuko/duara yaani degree 180.....yaani huendi mzunguuko mzima unaenda nusu kisha unarudi ulikotoka nusu nyingine....kulia na kushoto.....
Utahisi jamaa anataka ku-move au atakushikilia kimtindo kama sio kutoa mihemo na miguno Fulani ya raha.......hatua hiyo ikifika ndio wakati wa kwenda mzunguuko mzima kwa kuongeza speed na kuipunguza.....Mf kukata kiuno cha ngono kutoka kulia kwenda kushoto ni rahisi na unakwenda haraka kuliko kile cha kutoka kushoto kwenda kulia. (inategemea kama wewe ni left heanded au vinginevyo)
Sasa unapobadilisha "rythim" kutoka haraka kwenda taratibu hakikisha unafanya kwa mpangilio huo, kwamba kutoka kulia kwenda kushoto haraka na kutoka kushoto kwenda kulia taratibu.....Hakika ile hali atakayokuwa akionyesha kuwa anafurahia itakufanya wewe ufurahie zaidi na utahisi utamu unakaribia.....
Hapa njemba itapagawa na kupiga "tako" mfurulizo ktk harakati za kufika kileleni.....wakati anafanya hivyo "relax" kiakili lakini kimwili endelea kufanya mambo uliyoanzisha ili mfike wote.
Kuna uwezekano mkubwa kabisa akakuacha njia panda....hiyo ndio nia na madhumuni kumuwahisha......hii yote inachukua dakika 10 mpaka 20 ukiunganisha na romance (kuandaana) lakini kwa tendo peke yake ni dk 8-10 tu kitu na box......
Kila la kheri.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates