Hii story
inachekesha sana. Kuna madj nchini Uganda wameichukua ile picha maarufu ya
Afande Sele aliyoteremsha suruali na kubaki na boxer kwenye stage na kudai kuwa
huyo ni Bebe Cool.
Baada ya
kuona hivyo Bebe Cool amekasirika kiasi cha leo kuandika kwenye page yake ya Facebook na kufafanua kwa mashabiki wake.
"hahahaha,
I pity two silly fools, one works in Club Rouge as a cleaner by the names
Onyango Gareth the other is a wanabe DJ mbu DJ Jojo Mimz as short as a shoe.
They post a fake pic of some up-coming tz artist called Afande Saly performing
at a Tigo promo in TZ to counter attack the A and B story that I posted. Only
they forgot that in UG thez no tigo and Bebe is a lot mo hairy and has mob side
bans. sori ma fans aint drug addicts like A and B fans. ma fans can see"
Tumeongea na Afande Sele kuhusiana na taarifa hiyo na
kudai kuwa haifahamu na kusema kuwa anamuona Bebe Cool kama underground ndio
maana hajawahi kupata show Tanzania.
Afande
amesema msanii anayemkubali nchini Uganda ni Chameleone na Bebe Cool anasema
ni mshamba tu.
Post a Comment