BAADA YA KUJITOA KATIKA KUNDI LA PAH ONE AIKA NAH REAL NA WEESTAR WAJA NA KUNDI JIPYA

Kama unakumbuka vizuri mwaka jana kundi jipya lilokuwa linakuja vizuri kwenye game ,Pah one, lilisambaratika na wengine kujitoa kwa sababu ya kutokuelewana katika kundi, kisa kikiwa ni uhusiano wa kimapenzi kati ya Nahreel na Aika ambapo yeye "Aika" alikanusha kuwa sababu ya kundi hilo kuvunjika, sasa wameamua kuja na kundi lao jipya likiwa na Nahreel, Aika na Weester, ambalo hawajasema litakuwa linaitwa nini,na tayari wako mbioni kuachia single yao ya kwanza kama kundi jipya ikiwa inajina "Hold Me Back"

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates