PROFESSA JAY ACHUKUA KADI YA CHADEMA UENDA 2015 AKAGOMBEA UBUNGE

Msanii mkongwe nchini maarufu Joseph Haule a.k.a Professa Jay amejiunga rasmi katika chama cha Demokrasia na maendeleo'CHADEMA'
Professa Jay amekabidhiwa kadi hiyo na mbunge wa Mbeya mjini 'Joseph Mbilinyi' a.k.a Sugu.kujiunga kwa msanii huyo katika chama hicho kuna uwezekano akagombea ubunge 2015.!!!!!!!
Huu ndiyo ujumbe wa Professa Jay baada ya kupokea maswali mengi kutoka kwa mashabiki wake katika mtandao wa twitter.
'Mmeniuliza sana kwamba mimi ni CHAMA gani jibu litapatikana Muda sio mrefu!! Still in Dodoma STAY TUNED'

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates