Picha Ya Msichana Aliyemeza Simu Yake ya Mkononi Kumzuia Mpenzi wake Asisome Message Yake

Wivu, uaminifu au chochote unachoweza kufikiria, kimemsababisha msichana mwenye miaka 19 kutoka Brazil Adriana Andrade kuimeza simu yake ya mkononi kama njia ya kumzuia boyfriend wake asisome ‘message’ katika simu yake.
Adriana

Mtandao wa Hispania Yipeta umeripoti kuwa baada ya tukio hilo msichana huyo alilazimika kufanyiwa upasuaji ili kutolewa simu hiyo tumboni mwake.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates