WANAUME WAMPA MAKAVU MSICHANA ALIYETANGAZA KUTAFUTA BASHA WA KUMUOA, WASEMA WANA WASIWASI NA UTIMAMU WA AKILI YAKE!

Msichana aliyejitangaza kuwa anahitaji mume wa kumuoa hatimae amepewa makavu live na wanaume na kusema kuwa huenda akili ya bint huyo haiko sawa kwa kitendo alichokifanya.

Hii ndiyo taarifa aliyoitoa dada huyo

 Mimi ni  binti  mjasiliamali  ambaye  nimechoka  kuishi  peke  yangu  na  sasa nahitaji mwanaume  wa  ndoa  anayejiheshimu  na anayejua kupenda.Umri  wangu  ni  miaka 25, elimu  yangu  ni  form six.

 Asilimia kubwa ya wanaume ni wasumbufu  na  wana wanawake  wengi,kitu  ambacho  kwa  upande  wangu sikitaki  maana  najijua  nina  wivu....

Kwa  yeyote mwenye sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema  ambaye  atanipenda  kwa  dhati  na  hatanisaliti  basi anijibu  kupitia  email  yangu. 

Kwa  upande  wangu  namhakikishia  kuwa  ntampenda  kwa  dhati, Sitamsaliti, ntamheshimu  na  ntawapenda  ndugu  na  jamaa  zake  wote  kwa  moyo  wangu  wote.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates