DIAMOND PLATNUMZ AFICHUA SIRI KUHUSIANA NA PICHA ZINAZOENDELEA MTANDAONI .NA HIKI NDICHO ALICHOKISEMA

di 2
Kumekuwa na picha mbali mbali zikimuonyesha diamond Platnumz akiwa na Wema Sepetu. Picha hizi zimekuwa gumzo kwa watu wengi na mpaka wengine kusema kuwa wapenzi hawa wawili wamerudiana . Lakini Diamond afunguka nakuelezea kwenye akaunti yake ya facebook juu ya kinachoendelea juu yake yeye na Wema Sepetu. Tazama hapo.
diamond

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates