Rapper D Knob Kutoka Tanzania Amefungua Mtandao Wa Biashara, Fuatilia Hapa

 
Old time rapper kutoka Tanzania D Knob amefungua mtandao unaojulikana kama www.mitaanimostwanted.co.tz utakao jihusisha na Usimamizi wa biashara tofauti na mambo ya burudani. Mtandao huu utakuwa na kazi ya kuanda projects za biashara na mambo ya huduma tofauti mitaani. Kwa sasa mtandao huu unafanya kazi bega kwa bega na project ya Marco Chali Foundation kupitia Epic Open Mic.


Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates