NEW JOINT TOKA KWA ALGEBRA MWANAHISABATI CHECK COVER SONG IKO HAPA

Wiki hii nategemea kuachia ngoma yangu ya NANI MKALI...nashukuru kwa support yenu tangu sadaka ya verse,Balaa la machiz,hawabishi na leo NANI MKALI.....natamani hii ngoma ifunike xana na ndio matarajio
yangu so mwambie mwenzio asupport coz wenyewe mnajua cjawahi kuwaangusha tangu naanza mziki mpaka leo....NASHUKURU crew yangu chini ya uongozi wa Shashow Bammy Wa Lunduno, na ma mc wenzangu Hood Captain Hood C na Micho Ze Don Lunduno don pamoja na uongozi wa Studio ya Bokazy chini ya Producer Man Dvd Geraldd kwa kupendekeza ngoma ya NANI MKALI kwenda Hewani...nawapenda xana mnaonisupport na kwa support mnayonionesha nitaendelea kufanya ngoma kaliiii kila cku...BOKAZY E.N.T & LUNDUNO 4rever.....NAWAPENDA XANA WANANGU MUONESHE SUPPORT zaidi ya ngoma zilizopita...ngoma j.5 kwa hewa

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates