Latest Updates

Showing posts with label ALL IN ALL. Show all posts
Showing posts with label ALL IN ALL. Show all posts

ALL IN ALL SEHEM YA 2

1:30 PM
HII NI SIMULIZI HAIHUSIANI NA MTU YOYOTE YULE NI TUNGO TU NA KAMA IKITOKEA BASI NI MIPANGO TU YA SIR GOD.
mara simu ya Yahya iliita   "Oyo sasa me nasepa namuwahi huyu mana do ananiharakiza kama vipi nitgakutafuta mana nimesikia tangazo redio kuwa wanatafuta vipaji vipi umesikiaa" Rashid alionekana kuduwaa  "hapana sijasikiaa....."  Rashid alijibu kwa haraka "basi sawa nikirudi nitakuambia... " Yahya alijibu huku akiwa katika harakati za kuondika maeneo yale "kaka fanya kuniambia japo kidogo basi mana tayari ushaniitia hamu.."  Yahya hakutaka kumdokeza hata kidogo kwa kuwa alikua na haraka ya kufata yule mwana mke wake, baada ya Yahya kupinda katika Rashidi alirudi katika foleni ya maji huku akiwa na mawazo iliyoambatana na njaa isiyo ya kawaida iliyochanganyika na machofu mara nyingi alikua akipiga ming'ayo. "naomba jamani hii ndo moja tu mana mtoto analia nyumbani..." Sauti ya mwanamke ambae

ALL IN ALL SEHEMU YA KWANZA 1

1:05 AM



SEHEMU YA KWANZA
   Jua kali la saa 9 lilikuwa linawaka kupita maelezo, Rashid ni kijana mwenye uchu wa maendeleo alipenda kujituma kama mtumwa akiwa na lengo la kuishi kama mfalme, wakati huu Rashid alikuwa kibaruani maeneo ya Raha leo pale linapojengwa ghorofa, hapa palikuwa na mchanganyiko wa wanaume na wanawake watoto na watu wazima palikuwa na wakandarasi kutoka India na Tanzania Bara, kila mtu alikuwa akisghulika  kufanya kazi aliyopangiwa lakini bado kulikuwa na unyanyasaji kutoka kwa wasimamizi wao.    
“Wewe mpumbavu tena mzembe kabisa masaa mawili unachanganya mchanga uwo kama umeshindwa kazi ni bora useme mjinga wewe kuna watu kibao ambao wanatafuta kazi wewe umepata unaizembea nasema kama huwezi kazi nenda kapakatane na mzee walo nyumbani..”  Rashid alitolewa maneno makali yaliochangayika na matusi ya nguoni.
Lakini bosi……. Rashid alijaribu kujitetea lakini hafla alikatishwa na bos wake “lakini kitu gani tena hakuna malipo leo mana sjaona la mana ulofanya tangu asubuhi.” Yule msimamizi aliyekuwa akisimamia kundi la akina Rashid aliondoka huku akionesha ni mwenye hasira na kumuacha Rashid akiwa ameduwaa.
……..
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates