Latest Updates

Showing posts with label kenya. Show all posts
Showing posts with label kenya. Show all posts

NEW - WAALIM WAHITILAFIANA MCHINI KENYA

7:05 AM
Baadhi ya walimu nchini Kenya wamezikashifu miungano ya walimu nchini humo kwa kuandaa migomo zisizozaa matunda. Hii ni baada ya tume ya kutetea haki za walimu, KNUT kusitisha kwa siku 90 mgomo wa walimu ambayo imedumu kwa mwezi moja sasa. Aidha walimu hao wameapa kutoshiriki migomo zingine zitakazoandaliwa na miungano wao katika siku za usoni. Walimu wa Kenya walianza mgomo Septemba 7, 2015 wakidai nyongeza ya asilimia 50-60 baada ya mahakama kuagiza walipwe nyongeza hiyo.

Kenya Wametoa Top 10 ya Celebrity wa Kike Wanaovutia Zaidi.WACHECK HAPA

6:21 AM
Here is the ranking of the 10 short and s3xiest women in Kenya…

10. EDITH KIMANI.

KTN’s Edith Kimani is only 5,2 inches she likes wearing heels because they make her look tall.



9.SHEILA MWANYIGHA.

Sheila has hosted Tusker project fame several times and many people have always complained that she applies too much make up but she does not fail most people when it comes to dressing up. 


Kiongozi mmoja wa dini ya kiisilamu ameuawa kwa kupigwa risasi pamoja na watu wengine mjini Mombasa, Pwani ya Kenya.

2:41 AM




Salim Adbi pekee ndiye aliyenusurika kifo

Haijulikani aliyetekeleza mauaji hayo ya usiku wa kuamkia leo huku kukiendelea kuwa na hali ya wasiwasi miongini mwa waisilamu na maafisa wa usalama mjini humo

Sheikh Ibrahim Rogo alikuwa muhubiri katika msikiti alipokuwa akihubiri marehemu Sheikh Aboud Rogo ambaye pia aliuawa kwa kupigwa risasi. Aliuawa na watu wengine watatu walipokuwa wanrejea nyumbani Alhamisi usiku baada ya kuhubiri.

Marehemu Aboud Rogo alidaiwa kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Al Shabaab

Mauaji haya ni sawa na ya marehemu Aboud Rogo Mohammed mwaka jana na ambayo yalisababisha ghasia mjini humo.
Yanakuja wiki mbili tu baada ya shambulizi la kigaidi lililofanywa dhidi ya jumba la maduka la Westgate ambapo watu 67 waliuawa
Kundi la kigaidi la al-Shabab lilikiri kufanya mashambulizi hayo ya kigaidi.
Aboud Rogo alidaiwa kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la al-Shabab na baadhi ya waisilamu walioshutumu polisi waliomuua walisema kuwa yalikuwa madai tu wala.
Ibrahim Rogo alionekana kama mrithi wa marehemu Aboud Rogo, alipohutubu katika msikiti huo.


 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates