Mkali wa miziki 
ya Soul bongo anajulikana kwa jina la Damian Soul anatarajia kuja na 
wimbo wake mpya alioupa jina la NI PENZI akiwa amemshirikisha mkali 
mwingine wa Hip Hop bongo anayetokea kundi la WEUSI anajulikana kwa jina
 la Joh Makini. Damian anawaomba mashabiki wake wampokee kwa ujio huu 
mpya na anaamini hatowaangusha.
Home » Damian Soul » (News) DAMIAN SOUL feat. JOH MAKINI "NI PENZI" Coming Soon
(News) DAMIAN SOUL feat. JOH MAKINI "NI PENZI" Coming Soon
By Unknown • 8:19 AM • Damian Soul • Comments : 0
Subscribe to:
Post Comments
                        (
                        Atom
                        )
                      

 
 
 
 
Post a Comment