Kama alivyonukuliwa toka mtandao mmoja maarufu wa habari Afrika
Mashariki, msemaji wa kampuni hiyo amesema imekua neema kwao kufanya
kazi na kampuni kubwa kama candy n candy films ya nchini kenya, na hiyo
itapanua wigo wa ukuaji wa tasnia ya filamu afrika mashariki hususani
kenya na tanzania..deal hiyo yenye thamani ya shilingi za kitanzania
milioni mia mbili ( mil.200 )inakua moja ya mikataba minono zaidi kufanywa east africa kutoka kwa kampuni kwenda kwa kampuni kwenye upande wa filamu.
Hiyo inachukukuliwa kuwa moja la pigo la kukata na shoka kwa
kampuni pinzani grandpa records nayo ya nchini kenya ambayo kwa muda
mrefu imekuwa ndani ya tasnia ya burudani kwa takribani zaidi ya miaka
kumi bila kuleta mabadiliko yoyote katika tasnia nzima ya
burudani,jambo ambalo candy n candy imeweza kufanya ndani ya miezi
mitano tu,katika kutengeneza muziki wa kimataifa bila kusahau project
yao ya sasa “highly budget movie the gal bladder”….ni mfano wa kuigwa
kutoka kwa candy n candy records label kuzalisha kampuni tanzu ndani
yake ya candy n candy films ambayo itakuwa ikidili na filamu.
Mbali na hayo kampuni hii ina plans za kuanzisha kipindi matata
cha runinga ambacho kitakua kikirushwa Afrika Mashariki yote ,ambapo
kama kawaida huwa hawachezi mbali host wake atakua first lady wa candy n
candy mwanamuziki,mwigizaji,mwanamitindo na mtangazaji baby madaha”the
queen of swaggz”,ikumbukwe hivi karibuni alilamba mamilioni ya shilingi
kupitia mkataba wake na kampuni hiyo.
kaaazi kweli kweli…….yetu macho wabongo mpoooo?????
Post a Comment