Mchezaji wa timu ya Ashanti akiwa na mpira akimpita beki wa timu ya
Azam katika mchezo wa mwisho wa michuano ya Mapinduzi Cup kituo cha
Unguja, timu hizo zimetoka sare ya bila kufunguna.
Mshambuliaji wa timu ya Azam Kipre Tchetche akimpita beki wa timu ya Ashanti katika mchezo wa Mapinduzi Cup.Mshambuliaji wa timu ya Ashanti akiwapita wachezaji wa timu ya Azam.
Mshambuliaji wa timu ya Azam akijiandaa kumpita beki wa timu ya Azam .
Hapa hupiti beki wa timu ya Azam akimzuiya mchezaji wa timu ya Ashanti
akimiliki mpira katika mchezo huo uliofanyika uwanja wa Amaan timu hizo
zimetoka sare ya bila kufungana jana usiku.
Kipa wa timu ya Ashanti akipata huduma ya kwanza baada ya kupata maumivu
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Simba Abdalla Kibadeni akisalimiana na
Kocha Mpiya wa timu ya Simba walipokutana kwa mara ya kwanza katika
michuano ya kombe la Mapinduzi uwanja wa Amaan , wakati wa timu ya
Ashanti ilipokuwa ikicheza na Azam
Kocha wa timu ya Ashanti Abdalla Kibadeni, akizungumza na waandishi wa
habari baada ya mchezo wao na timu ya Ashanti uliofanyika uwanja wa
Amaan, timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
Kocha msaidizi wa timu ya Azam Kali Ongara akizungumza nawaandishi wa habari
Post a Comment